iqna

IQNA

Ayatullah Arafi
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Sheikh wa Al-Azhar wa nchini Misri, akijibu barua ya mkuu wa vyuo vya kidini vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ameeleza matumaini yake kuwa msimamo wa pamoja uliochukuliwa na Waislamu hivi karibuni katika kukabiliana na suala la kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu utakuwa kichocheo cha kutatua tofauti na kuleta umoja baina yao.
Habari ID: 3477367    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/01

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Vyuo vya Kiislamu nchini Iran amelaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Hamburg, Ujerumani.
Habari ID: 3475617    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/13

Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Mkurugenzi wa Vyuo vya Kiislamu Iran Ayatullah Alireza Arafi alikutana na kufanya mazungumzo na Papa Francis.
Habari ID: 3475317    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/31